MAFUNDI ENJINI WAKIWA KATIKA KAZI ZAO ZA KUTENGENEZA ENJINI YA GARI PAMOJA NA KUREKEBISHA MATAILI KATIKA GEREJI MOJA ILIYOPO ILALA-SHARIFUSHAMBA JIJINI DAR-ES-SALAAM.
Mpekuzi
Ukweli na uwazi
Tuesday, October 23, 2012
Monday, October 22, 2012
UFUNDI WA UTENGENEZAJI MADILISHA YA VIOO
Ramadhani Athumani ni kijana mwenye umri wa miaka [28] anaejishughulisha na shughuli za ufundi wa kutengeneza madilisha ya vioo.Kijana huyu ameanza kazi hiyo tangu mwaka 2009 alipo hitimu mafunzo yake ya ufundi katika chuo cha VETA kilichopo mkoani Morogoro.
Ramadhani Athumani ameona ni bora ajiajili yeye mwenyewe kwasababu anaujuzi wake wa kutengeneza milango na madilisha ambavyo vinamuingizia kipatokidogo kinachomsaidia kutokana na hali ngumu ya maisha.
Zifuatazo ni picha zinazomuonyesha Ramadhani Athumani akiwa katika kazi yake ya kutengeneza madilisha ya vioo.
Ramadhani Athumani ni kijana mwenye umri wa miaka [28] anaejishughulisha na shughuli za ufundi wa kutengeneza madilisha ya vioo.Kijana huyu ameanza kazi hiyo tangu mwaka 2009 alipo hitimu mafunzo yake ya ufundi katika chuo cha VETA kilichopo mkoani Morogoro.
Ramadhani Athumani ameona ni bora ajiajili yeye mwenyewe kwasababu anaujuzi wake wa kutengeneza milango na madilisha ambavyo vinamuingizia kipatokidogo kinachomsaidia kutokana na hali ngumu ya maisha.
Zifuatazo ni picha zinazomuonyesha Ramadhani Athumani akiwa katika kazi yake ya kutengeneza madilisha ya vioo.
Tuesday, October 9, 2012
Friday, October 5, 2012
UJASILIAMALI
Vijana wengi sikuizi wamepata muamko wa kujiingiza katika swala la ujasiliamali baada ya swala la ijila kuwa tatizo kubwa hapa nchini.Vijana hao wameamua kujishughulisha kwa kufanya biashara mbalambali kama vile kuuza mkaa,urojo,ushonaji nguo,uuzaji nguo pia pamoja nakujishughulisha na maswala ya gereji.
Vijana hao wameamua kujishughulisha wao wenyewe kwa kufanya biashara zao zinazoweza kuwaingizia kipato na kuweza kumudu maisha yao wenyewe kuliko kukaa vijiweni na kujiingiza katika makundi mabaya.
Hizi ni baadhi ya picha zinazo onyesha vijana hao wakiwa katika shughuli zao za kila siku.
Vijana wengi sikuizi wamepata muamko wa kujiingiza katika swala la ujasiliamali baada ya swala la ijila kuwa tatizo kubwa hapa nchini.Vijana hao wameamua kujishughulisha kwa kufanya biashara mbalambali kama vile kuuza mkaa,urojo,ushonaji nguo,uuzaji nguo pia pamoja nakujishughulisha na maswala ya gereji.
Vijana hao wameamua kujishughulisha wao wenyewe kwa kufanya biashara zao zinazoweza kuwaingizia kipato na kuweza kumudu maisha yao wenyewe kuliko kukaa vijiweni na kujiingiza katika makundi mabaya.
Hizi ni baadhi ya picha zinazo onyesha vijana hao wakiwa katika shughuli zao za kila siku.
Subscribe to:
Posts (Atom)