Pages

Wednesday, September 19, 2012

Mzee Sabri Juma akiwa anasafisha barabara maeneo ya buguruni Jijini Dar es salaam jana asubuhi.

Mmoja kati ya wafanyabiashara katika soko la magomeni akiwa katika biashara yake ya samaki

Mwajuma Saidi akiwa katika biashara yake ya kumuingizia kipato maeneo ya ilala jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment